Alikiba refutes claims of stealing ‘Seduce Me’

Tanzanian musician Alikiba has denied claims that he stole his latest song titled Seduce Me. . PHOTO| COURTESY

Tanzanian musician Alikiba has denied claims that he stole his latest song titled Seduce Me. The Bongo star spoke to Bongo 5 and made it clear that the song is his own original composition that had been in the works for two years.

“Seduce Me ni muziki ambao umenifurahisha hata mimi mwenyewe, ni muziki ambao umeniletea mabadiliko makubwa katika tasnia ya muziki kwa muda mfupi kwa sababu muitikio wake umekuwa mkubwa Zaidi. Ni nyimbo nzuri sana watu wameipokea. Ukiingalia imezungumziwa na watu wengi kila aina ya viongozi, mabloga na waandishi wa habari,” said AliKiba.

Alikiba went on to say that there were a few people who never thought he could come up with a track like that hence the doubts.

“Unajua muziki mzuri mara nyingi unazungumziwa na lazima kushambuliwe na vitu kama hivyo. Kuna watu wachache ambao hawaniamini kama naweza kufanya mziki kama huo, ni kwa sababu ya mabadiliko na jinsi gani nafanya miziki yangu...Seduce Me ni kati ya muziki ambao ni tofauti kabisa mimi kuintroduce Tanzania. Kati ya miziki yangu yote na nimerekodi karibu miaka miwili toka studio ya zamani ya Man Water na vile vile haitowahi kutokea na siwezi kufanya vitu kama hivyo kwa sababu najiamini sana talent yangu. Kitu ambacho nafanya always ni kufanya kitu kizuri halafu ma fans wanakuja kupokea,” Alikiba said.